Saturday, 6 August 2011

Taswira ya mdau ya machweo ya jua

Asante mdau kwa taswira mwanana ya machweo ya jua Dar es salaam. Ungepata na kajingalawa ama boti hivi hapo katikati majini ingekuwa mwake kwani kungekuwa na uhai zaidi. hata hivyo umejitahidi

No comments: