Huu ni uwanja wa taswira. Mdau ambaye ni mpenzi wa picha unakaribishwa kuchangia picha, maoni, maswali, darasa, ukosoaji wa kujenga na kila jambo linalohusu fani hii. Endapo una lolote la kutuma lete kupitia issamichuzi@gmail.com nawe utahudumiwa. Tafadhali lete picha uliyopiga mwenyewe...
Saturday, 6 August 2011
Supa modo Millen Magesse akiwa kazini
Hii ilikuwa ni katika Africa Fashion Week mjini Sandton Afrika ya Kusini ambako pamoja na kuwapoga picha Millen na Flaviana pia Ankal alipata kismati cha kula nao Konozzzz..
No comments:
Post a Comment