Huu ni uwanja wa taswira. Mdau ambaye ni mpenzi wa picha unakaribishwa kuchangia picha, maoni, maswali, darasa, ukosoaji wa kujenga na kila jambo linalohusu fani hii. Endapo una lolote la kutuma lete kupitia issamichuzi@gmail.com nawe utahudumiwa. Tafadhali lete picha uliyopiga mwenyewe...
Sunday, 7 August 2011
kumbukumbu ya kocha wa Taifa Stars toka Brazil Marcio Maximo
Maximo na wachezaji wake. Kuja kwake nchini kulileta msisimko wa aina yake katika soka, hadi alipoondoka
Wachezaji na viongozi mazoezini. aliyesimama kushoto ni Meneja wa Taifa Stars Leopard Tasso Mukebezi na kocha msaidi Ally Bushiri
No comments:
Post a Comment