Huu ni uwanja wa taswira. Mdau ambaye ni mpenzi wa picha unakaribishwa kuchangia picha, maoni, maswali, darasa, ukosoaji wa kujenga na kila jambo linalohusu fani hii. Endapo una lolote la kutuma lete kupitia issamichuzi@gmail.com nawe utahudumiwa. Tafadhali lete picha uliyopiga mwenyewe...
Saturday, 6 August 2011
Nini uzuri ama ubaya wa taswira hii ya The Kilimanjaro Band 'Wana Njenje'
Jibu: Mpiga pich hakuwa makini. Kuna watu wawili wameharibu pozi kwa kuangalia kusiko...Fundisho hapa ni kwamba mpiga picha lazima afanye juu chini macho ya wote yaelekee kumoja...
No comments:
Post a Comment