Huu ni uwanja wa taswira. Mdau ambaye ni mpenzi wa picha unakaribishwa kuchangia picha, maoni, maswali, darasa, ukosoaji wa kujenga na kila jambo linalohusu fani hii. Endapo una lolote la kutuma lete kupitia issamichuzi@gmail.com nawe utahudumiwa. Tafadhali lete picha uliyopiga mwenyewe...
Sunday, 7 August 2011
Mzee Hozza na mapacha wake kazini
Muasisi wa vikumndi vya matrumbeta kwanye maharusi Mzee Hozza akiwa na wanawe mapacha kazini
No comments:
Post a Comment