Huu ni uwanja wa taswira. Mdau ambaye ni mpenzi wa picha unakaribishwa kuchangia picha, maoni, maswali, darasa, ukosoaji wa kujenga na kila jambo linalohusu fani hii. Endapo una lolote la kutuma lete kupitia issamichuzi@gmail.com nawe utahudumiwa. Tafadhali lete picha uliyopiga mwenyewe...
Saturday, 6 August 2011
Taswira ya kukumbukwa
Ankal na wenzie walipata bahati kulala siku moja katika jumba la Big Brother Africa mwaka jana. Tuletee taswira za kumbukumbu namna hii
No comments:
Post a Comment