Asalaam alaykhum ankal,
Pokea taswira hizi za mji wa mtwara na mji mdogo mkongwe wa Mikindani.
From Chef Issa
chuma hiki alilala dr livingstone
chumba hiki alilala chief mkwawa
eneo hili lilitegwa kwa mazishi ya marehemu wa asili ya kihindi toka miaka ya 1820
Hapa ni maeneo maarufu ya feri kunapouzwa samaki na pia kuna kivuko cha kwenda kisiwa cha Msanga mkuu, Mtwara
hapa ni mbele ya jengo la old boma mikindani
Hapo aliposimamam huyo kijana apalikua na shimo lililotumika kutupia miili ya waliokwisha kunyongwa na inateleza mpaka baharini.
Nyumba ya Sharifu ambapo Mwalimu Nyerere alifikia na kuombea dua |
Chumba cha Dr Livingstone
hapa ndipo ilipokua eglish medium school na waliposoma watoto wa wakubwa tu na kwa sasa inatumika kama madrasa ya watoto wa kiislamu
mabaki ya mizinga iliyokua ikitumia wakati huo wa mjerumani kwa kujiham
Hii ndio nyumba aliyolala Mwalimu Nyerere alipokwenda mikindani enzi hizo pia aliombwe dua hapa na sharifu aliekua akiishi humo
hii ndio old boma
Mtwara Airport
Hii ni historia fupi ya utambulisho wa jengo la old boma
Hili jengo lilitumika miaka ya 1820 mpaka sasa kuchomea miili ya marehemu wa dhehebu ya baniani
Jumba la sinema Mikindani leo
Ndani ya Old Boma, mikindani
Msikiti wa dhehebu la shia uliojengwa toka mwaka 1901 mjini Mikindani
Old Boma
mfereji uliokua unatumika kupitishiwa watumwa chini kwa chini mpaka baharini ilipopaki jahazi
Huu ni mtaa maaarufu wa madukani ya wahindi na ofisi nyingi kubwa Mtwara
Ufukweni Mikindani
Jengo hili alilala Dr Livingtone kabla ya safari yake ya mwisho kuelekea zambia mauti yalipomkuta ambapo hivi sasa linakarabatiwa
![]() | jengo hili lina historia kubwa sana maana limejengwa pande nne na limejengwa na wakoloni wa kijerumani, kiingereza, kiarabu na Waafrika |
Jiwe hili lilitumika kama kipimo kwa watumwa ukiweza kuinua ulikua unauzwa kwa bei poa kabisa
Jumba hili lilikua soko la watumwa
Katika jengo la old boma hiki ndio chumba alicholalal mwalimu nyerere
Kule juu kabisa ndio maeneo ya old boma alipokua akikaa Dc wa kijerumani
kulia ni mahakama na kushoto ni mti uliotumika kunyongea watuhumiwa
kwenye lango la kuingia old boma utakuata mizinga miwili ya nyuki ikisema nyuki wadogo wasiouma
Watalii kibao
Msikiti wa dhehebu la shia uliojengwa toka mwaka 1901 mjini mikindan
mandhari ya jiji la mtwara kwa juu
Nyumba aliyoishi Dr David Livingtsone
na hapa ndio chuo kikuu cha SAUT Mtwara
Chumba alicholala Gavana
Old boma ilijengwa na wajerumani mwaka 1895
Inajieleza
sehemu hiii ndio ilikua ya anakaa mpokea pesa baada ya kuuza watuma |
Mandhari toka Old Boma Mikindani
2 comments:
Serikali imeyatupa maeneo haya ingeyajali kuna vivutio vingi na kuna mandhar nzuri pia ingepunguza msongamano dar lakini wapi ndio mwafrica nyumba za maana ni zile walizojenga wazungu na waarabu inasikitisha mji wa zamani namna hii kuwa hivi.
Katika tasnia ya ujenzi ni vyema kuhakikisha kuwa kila jengo lenye historia linatunzwa kwa kuwashirikisha wataalam wenye taaluma hiyo na hao wapo tatizo ni kuwa wale wenye madaraka hawaoni umuhimu wa kufanaya hivyo ndio maana hata bajeti ya jambo hilo huwa ni finyu sana, na kama tutakuwa na umakini kwenye hilo suala basi wanafunzi wetu watapata kujua vitu vingi na kujifunza pia.
Post a Comment