Huu ni uwanja wa taswira. Mdau ambaye ni mpenzi wa picha unakaribishwa kuchangia picha, maoni, maswali, darasa, ukosoaji wa kujenga na kila jambo linalohusu fani hii. Endapo una lolote la kutuma lete kupitia issamichuzi@gmail.com nawe utahudumiwa. Tafadhali lete picha uliyopiga mwenyewe...
Sunday, 7 August 2011
Taswira na watu mashuhuri
Ukikutana na watu mashuhuri usione noma kuomba kupiga picha nao, wengi wao hawana neno kwa hilo. Hapa Ankal akiwa na mwanamuziki Yvonne Chaka Chaka na mumewe mjini Sandton, Afrika ya Kusini
No comments:
Post a Comment