Huu ni uwanja wa taswira. Mdau ambaye ni mpenzi wa picha unakaribishwa kuchangia picha, maoni, maswali, darasa, ukosoaji wa kujenga na kila jambo linalohusu fani hii. Endapo una lolote la kutuma lete kupitia issamichuzi@gmail.com nawe utahudumiwa. Tafadhali lete picha uliyopiga mwenyewe...
Thursday, 11 August 2011
Simba wa vita uwanjani
Hayati Mzee Rashidi Mfaume Kawawa akichezesha mechi ya wabunge na mawaziri uwanja wa Ilala (siku hizi Kumbukumbu ya Amani Abeid Karume)
No comments:
Post a Comment