Huu ni uwanja wa taswira. Mdau ambaye ni mpenzi wa picha unakaribishwa kuchangia picha, maoni, maswali, darasa, ukosoaji wa kujenga na kila jambo linalohusu fani hii. Endapo una lolote la kutuma lete kupitia issamichuzi@gmail.com nawe utahudumiwa. Tafadhali lete picha uliyopiga mwenyewe...
Thursday, 11 August 2011
Mwalimu, Samora Machel, Graca Machel na Mama Maria
Mwalimu akiwa na Rais wa Msumbiji Samora Machel pamoja na Graca Machel na Mama Maria Nyerere
No comments:
Post a Comment