Huu ni uwanja wa taswira. Mdau ambaye ni mpenzi wa picha unakaribishwa kuchangia picha, maoni, maswali, darasa, ukosoaji wa kujenga na kila jambo linalohusu fani hii. Endapo una lolote la kutuma lete kupitia issamichuzi@gmail.com nawe utahudumiwa. Tafadhali lete picha uliyopiga mwenyewe...
Friday, 5 August 2011
mjadala
leo sina cha kusema ila naomba wadau muijadili picha hii kwa kadri mtavyoweza na kupenda
No comments:
Post a Comment