Thursday 11 August 2011

ukarabati wa kwanza wa uwanja wa Uhuru

Uwanja huu hivi sasa unakarbatiwa kwa mara ya pili kujiandaa na sherehe za miaka 50 ya Uhuru. Katika ukarabati huu wa sasa jukwa la Green Stendi kushoto limevunjwa lote na linajkengwa upya sambamba na majukwa mengine uoande wa Urusi na kusini na kaskazini

No comments: