Wednesday 17 August 2011

Tuesday 16 August 2011

mtaji wa masikini...


wazee wetu wa Afrika Mashariki


JK na wadau wakitembelea sehemu zilizoathirika na mafuriko jimboni chalinze mwaka 2004


JK na Mbowe

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akipongezwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe baada ya kupishwa kuwa Rais wa awamu ya nne, huku Mzee Reginald Mengi askisubiri zamu yake

Viongozi walihudhuria kuapishwa kwa JK mwaka 2005


Kinadada wa Uswazi wakati wa ngoma ya nyika - Reed Dance


Mruko ufukweni Zanzibar


mechi ya Simba SC na Cosmopolitan

Kipa wa Simba Semainda akidaka mpira mbele ya mshambuliaji hatari wa Cosmopolitan Jumanne Masimenti huku mlinzi wake Omari Choggo Mluya  "Choggo Chemba" akimlinda uwanja wa Ilala (siku hizi Karume)

Kikosi cha Coastal Union ya Tanga enzi hizo


mganda


viongozi wakionesh mfano katika kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa


ufukweni Dar es salaam


barabara kuu kuelekea makao makuu Dodoma





Ocean Road hospital, Dar es salaam


mfalme wa Reggae Tanzania, Jah Kimbute


marikiti ya mwanakwerekwe, zanzibar





Thursday 11 August 2011

Mwalimu, Samora Machel, Graca Machel na Mama Maria

Mwalimu akiwa na Rais wa Msumbiji Samora Machel pamoja na Graca Machel na Mama Maria Nyerere

Ankal akiwa loliondo wakti wa sakata la Loliondo gate

Hapa ni Loliondo Guest House alimofikia Ankal wakati wa kufuatilia sakata la Loliondo gate miaka ya 90

Simba wa vita uwanjani

Hayati Mzee Rashidi Mfaume Kawawa akichezesha mechi ya wabunge na mawaziri uwanja wa Ilala (siku hizi Kumbukumbu ya Amani Abeid Karume)

ukarabati wa kwanza wa uwanja wa Uhuru

Uwanja huu hivi sasa unakarbatiwa kwa mara ya pili kujiandaa na sherehe za miaka 50 ya Uhuru. Katika ukarabati huu wa sasa jukwa la Green Stendi kushoto limevunjwa lote na linajkengwa upya sambamba na majukwa mengine uoande wa Urusi na kusini na kaskazini

Mwalimu akiwa na mwagwiji wa taswira wa enzi hizo

Toka shoto ni Max Madebe (Mfanyakazi), Sam Mmbando (Shihata), Vicent Urio (Daily News), John Makwaia (Maelezo), Mwalimu, Mwanakombo Jumaa (Maelezo), Wataalamu wa TFC, Adinani Mihanji (Shihata), John Lukuwi (Maelezo). Chini toka kulia ni Raphael Hokororo (Maelezo) Moshi Kiyungi (Maelezo), Boaz Mpazi (Maelezo), Charles Kagonji (Maelezo) na mdau

mji wa moshi mapema asubuhi


Taswira adimu

Lady Jay Dee (shoto) na Nyota wakiimba pamoja

mnyama simba

 Simba nyikani
Ankal na Simba wa Ikulu

taswira toka mtwara na Mikindani

Asalaam alaykhum ankal,
Pokea taswira hizi za mji wa mtwara na mji mdogo mkongwe wa Mikindani.
From Chef Issa

 chuma hiki alilala dr livingstone
 chumba hiki alilala chief mkwawa
 eneo hili lilitegwa kwa mazishi ya marehemu wa asili ya kihindi toka miaka ya 1820
 Hapa ni maeneo maarufu ya feri kunapouzwa samaki na pia kuna kivuko cha kwenda kisiwa cha Msanga mkuu, Mtwara
 hapa ni mbele ya jengo la old boma mikindani
 Hapo aliposimamam huyo kijana apalikua na shimo lililotumika kutupia miili ya waliokwisha kunyongwa na inateleza mpaka baharini.



Nyumba ya Sharifu ambapo Mwalimu Nyerere alifikia na kuombea dua
 Chumba cha Dr Livingstone
hapa ndipo ilipokua eglish medium  school na waliposoma watoto wa wakubwa tu na kwa sasa inatumika kama madrasa ya watoto wa kiislamu
 mabaki ya mizinga iliyokua ikitumia wakati huo wa mjerumani kwa kujiham

 Hii ndio nyumba aliyolala Mwalimu Nyerere alipokwenda mikindani enzi hizo pia aliombwe dua hapa  na sharifu aliekua akiishi humo
 hii ndio old boma
 Mtwara Airport
 Hii ni historia fupi ya utambulisho wa jengo la old boma
 Hili jengo lilitumika miaka ya 1820 mpaka sasa kuchomea miili ya marehemu wa dhehebu ya baniani
 Jumba la sinema Mikindani leo
 Ndani ya Old Boma, mikindani
Msikiti wa dhehebu la shia uliojengwa toka mwaka 1901 mjini Mikindani
 Old Boma
  mfereji uliokua unatumika kupitishiwa watumwa chini kwa chini mpaka baharini ilipopaki jahazi
 Huu ni mtaa maaarufu wa madukani ya wahindi na ofisi nyingi kubwa Mtwara
 Ufukweni Mikindani
Jengo hili alilala Dr Livingtone kabla ya safari yake ya mwisho kuelekea zambia mauti yalipomkuta ambapo hivi sasa linakarabatiwa


jengo hili lina historia kubwa sana maana limejengwa pande nne na limejengwa na wakoloni wa kijerumani, kiingereza, kiarabu na jengo hili lina historia kubwa sana maana limejengwa pande nne na limejengwa na wakoloni wa kijerumani, kiingereza, kiarabu na Waafrika

 Jiwe hili lilitumika kama kipimo kwa watumwa ukiweza kuinua ulikua unauzwa kwa bei poa kabisa
 Jumba hili lilikua soko la watumwa
 Katika jengo la old boma hiki ndio chumba alicholalal mwalimu nyerere
 Kule juu kabisa ndio maeneo ya old boma alipokua akikaa Dc wa kijerumani
 kulia ni mahakama na kushoto ni mti uliotumika kunyongea watuhumiwa
 kwenye lango la kuingia old boma utakuata mizinga miwili ya nyuki ikisema nyuki wadogo wasiouma
 Watalii kibao
 Msikiti wa dhehebu la shia uliojengwa toka mwaka 1901 mjini mikindan
 mandhari ya jiji la mtwara kwa juu
 Nyumba aliyoishi Dr David Livingtsone
 na hapa ndio chuo kikuu cha SAUT Mtwara
 Chumba alicholala Gavana
 Old boma ilijengwa na wajerumani mwaka 1895
 Inajieleza
sehemu hiii ndio ilikua ya anakaa mpokea pesa baada ya kuuza watuma
Mandhari toka Old Boma Mikindani