Sunday 7 August 2011

taswira ya kumbukumbu ya kihistoria tanzania

Ni vyema kuhifadhi vyema kumbukumbu za aina hii kwa faida ya vizazi vya leo na baadaye. Nawasifu sana wapiga picha na wasafisha picha wa enzi hiyo kwa uhodari wao sio tu wa kupata taswira nzuri kama hizi bali pia kwa kuzihifadhi vyema kiasi ya kwamba hata rangi zake hazijachuja.

No comments: