Saturday 6 August 2011

Nini uzuri ama ubaya wa taswira hii ya The Kilimanjaro Band 'Wana Njenje'

Jibu: Mpiga pich hakuwa makini. Kuna watu wawili wameharibu pozi kwa kuangalia kusiko...Fundisho hapa ni kwamba mpiga picha lazima afanye juu chini macho ya wote yaelekee kumoja...

No comments: