Wednesday 10 August 2011

aibu ya Taifa

Rais wa Sudan Jaffar Nimery akikagua Taifa Stars iliyoingia uwanjani vifua wazi kwa kukosa jezi. Mwalimu Nyerere, ambaye pia alihudhuria mechi hii ya kirafiki na Sudan, toka siku hii hajakanyaga tena uwanjani kuangalia mpira

No comments: