Saturday 6 August 2011

siku mwili wa mwalimu uliporejeshwa toka Uingereza

Ankal aliipata taswira hii kutoka daraja la Manzese jijini Dar es salaam. alipatya kazi kubwa kufikiria na mapema engo gani  nzuri itayoeleza siku hii kwa kuchanganya mambo yote muhimu ikiwa ni pamoja na umati wa watu, barabara, usafiri uliotumika pamoja na jeneza. Baada ya kupigwa na jua kwa masaa kama manne hivi Ankal alizawadiwa na taswira hii. Fundisho hapa ni kuwaza na mapema aina ya picha inayofaa kabla.

1 comment:

Anonymous said...

Moh'd,
Vipi kuhusu clearence.