Thursday 11 August 2011

Mwalimu akiwa na mwagwiji wa taswira wa enzi hizo

Toka shoto ni Max Madebe (Mfanyakazi), Sam Mmbando (Shihata), Vicent Urio (Daily News), John Makwaia (Maelezo), Mwalimu, Mwanakombo Jumaa (Maelezo), Wataalamu wa TFC, Adinani Mihanji (Shihata), John Lukuwi (Maelezo). Chini toka kulia ni Raphael Hokororo (Maelezo) Moshi Kiyungi (Maelezo), Boaz Mpazi (Maelezo), Charles Kagonji (Maelezo) na mdau

No comments: