Sunday 7 August 2011

Taswira na watu mashuhuri

Ukikutana na watu mashuhuri usione noma kuomba kupiga picha nao, wengi wao hawana neno kwa hilo. Hapa Ankal akiwa na mwanamuziki Yvonne Chaka Chaka na mumewe mjini Sandton, Afrika ya Kusini

No comments: