Wednesday 8 October 2008

mbega


wanyama huleta taswira nzuri sana, hasa unapowafuma kwa karibu kama nilivyobahatika mimi nilipotembelea pori la jozani huko unguja

2 comments:

Anonymous said...

Nice shot. Mkuu wa wilaya ingependeze kama ungetoa ushauri pia ni jinsi gani ya kupiga shot kama hiyo, yaani mahali penye jua na kivuli wakati mmoja.

kimox said...

Imeetulia sana. Kwa haraka unaweza kudhani ni kinyago.

kimox.blogspot.com